Daily Archives: February 7, 2015

Wenyeji Equatorial Guinea wanyimwa nafasi ya Tatu na Congo DR Kombe la Mataifa Afrika

Malabo:

Kutoka katika uwanja wa Malabo nchini Equatorial Guinea Mchezo uliokuwa unapigwa ni kuwania mshindi wa tatu katika Kombe la Mataifa Afrika. Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (CONGO DR) imeshika nafasi ya tatu kwa ushindi ulifika hatua ya kupigiana matuta. Congo DR imeshinda kwa mikwaju ya penati 4 kwa 2 dhidi ya Equatorial Guinea. Uwanja wa Malabo ulikuwa na mashabiki wachache sana kutoka na vurugu za mechi kati ya Ghana na wenyeji Equatorial Guinea. Mlinzi wa Congo DR Defender Cedric Mongongu ndo alipiga penati ya ushindi.

Embedded image permalink

kikosi cha Congo DR

Read the rest of this entry

Design a site like this with WordPress.com
Get started