Daily Archives: March 27, 2015

BODI YA LIGI KUU YATOA ADHABU ZIFUATAZO BAADA YA KUKAA KWENYE KIKAO JUMANNE NA KUPITIA TAARIFA MBALI MBALI ZA MICHEZO

Kikao cha Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Bodi ya Ligi Kuu kilichoketi Jumanne ya tarehe 24 mwezi huu wa 3, 2015 kimepitia taarifa
mbalimbali za michezo na kutoa adhabu kemi kem zifuatazo;

image

Katika mechi namba 107 iliyowakutanisha wenyeji
Ndanda FC dhidi ya Coastal Unioni, klabu ya
Ndanda imepigwa faini ya sh. 500,000 (laki tano)
kwa mujibu wa Kanuni ya 42(1) ya Ligi Kuu ya
Vodacom  kutokana na washabiki wake kumrushia
chupa za maji mwamuzi msaidizi Anold Bugado.
Mechi namba 108 iliyochezwa Uwanja wa
Kambarage mjini Shinyanga, (Stand United dhidi
Simba SC), wenyeji timu ya Stand United imepigwa
faini ya sh. 300,000 (laki tatu) kwa mujibu wa
Kanuni ya 14(8) kutokana na timu yake kuchelewa
kufika uwanjani kwa dakika ishirini.

Read the rest of this entry

Design a site like this with WordPress.com
Get started