Daily Archives: April 8, 2015

Makundi ya Kufuzu Kombe la Mataifa Afrika 2017 yapangwa..Kenya, Tanzania, Rwanda na Burundi wapo makundi mazito.

Upangaji wa makundi ya Kufuzu kombe la Mataifa Afrika 2017 umekamilika leo hii tarehe 8, Aprili huko jijini Cairo, Misri. Jumla ya nchi 52 kutoka katika kundi A mpaka M za Afrika zinatarajia kushiriki michuano hii ambayo itaanza kutimua vumbi mwaka huu 2015 terehe za 12,13 na 14 mwezi wa 6.

Kwa mara nyingine tena kutoka Afrika Magharibi nchi ya Gabon ndio imetangazwa na Raisi wa CAF bwana  Issa Hayatou kuwa nchi mwenyeji wa Michuano hii 2017 kutoka katika kura iiyopigwa na kamati kuu ya utendaji ya CAF. Gabon ilikuwa nchi mwenyeji wa michuano hii kwa mwaka 2012 pamoja na  Equatirial Guinea. Gabon imezipiku Ghana na Algeria kuandaa michuano hii ya Kombe la Mataifa Afrika ya 31.

Gabon named hosts of AFCON 2017

Raisi wa CAF Issa Hayatou

Read the rest of this entry

Design a site like this with WordPress.com
Get started