Daily Archives: November 18, 2016

JICHO LETU LEO

Wapo wachezaji wengi sana tumekua tukiwafatilia wakifanya maajabu tokea hapo wakiwa wadogo mpaka wanapokua wakubwa. Nyota hao wameweza kushangaza dunia sana mno, kwa wale waliowaona nyota hao wakiwa bado wadogo…ni dhahiri shahiri kipindi hicho watu hao walisema “huyu Dogo atakua nyota wa dunia katika Soka”.

Na leo katika JICHO LETU kwa ufupi kabisa tunae Karamoko Kader Dembele. Karamoko Dembele ali maarufu kama “Kaddy” ni mchezaji ambae nae anapitia katika njia waliopita nyota wakubwa wa dunia hii ya leo. Karamoko Dembele ni kinda wa kipekee miaka 13 anaetumia guu la kushoto kama nyota wa zamani waliokuna walimwengu Lionel Messi, Maradona, Nilton Santos, Ferenc Puskas, Ryan Giggs na wengine wengi.

Read the rest of this entry

Design a site like this with WordPress.com
Get started