Daily Archives: November 26, 2016

NUSU FAINALI YATAFUTWA KWA NGUVU HUKO CAMEROON…

Jana michezo ya kundi A ilipigwa kukamilisha hatua ya makundi huko nchini Kameruni. Nusu fainali yatafutwa kwa nguvu huku vipigo vikali vikionekana.

Mechi ya kwanza ilishuhudiwa wenyeji Cameroon kushinda dhidi ya Zimbabwe 2-0. Ushindi huo umeifanya Cameroon kushinda mechi zote za makundi na kuibuka na alama zote 9. Zimbabwe wao wametolewa kwenye mashindano Kwa kuondoka na alama moja tu aliyoipata kwa kutoka 0-0 na Afrika Kusini.

Read the rest of this entry

Design a site like this with WordPress.com
Get started