Daily Archives: November 26, 2016
NUSU FAINALI YATAFUTWA KWA NGUVU HUKO CAMEROON…
Jana michezo ya kundi A ilipigwa kukamilisha hatua ya makundi huko nchini Kameruni. Nusu fainali yatafutwa kwa nguvu huku vipigo vikali vikionekana.
Mechi ya kwanza ilishuhudiwa wenyeji Cameroon kushinda dhidi ya Zimbabwe 2-0. Ushindi huo umeifanya Cameroon kushinda mechi zote za makundi na kuibuka na alama zote 9. Zimbabwe wao wametolewa kwenye mashindano Kwa kuondoka na alama moja tu aliyoipata kwa kutoka 0-0 na Afrika Kusini.
