Daily Archives: January 14, 2017

KOMBE LA MATAIFA AFRIKA LAANZA NA DROO! UFUNGUZI WAFANA!

Pazia la Kombe la mataifa Afrika 2017 limefunguliwa rasmi huko nchini Gabon kwa wenyeji kucheza mchezo wao Wa kwanza na Guinea-Bissau, huku mahasimu wao Cameroon wakichuana vikali na Burkana Faso (Burkinebe).
Mashindano haya yanayodhaminiwa na kampuni la Total yalianza kwa shamara shamra za wasanii mbali mbali kutumbuiza. Moja ya msanii kutoka Tanzania ni Diamond Platnum ambaye alitumbuiza kwa mara ya kwanza na kuweka historia kwa mwanamziki kutoka Afrika Mashariki kutumbuiza katika ufunguzi wa mashindano haya.

Diamond Platnum akitumbuiza mashabiki AFCON 2017

Read the rest of this entry

Design a site like this with WordPress.com
Get started