Daily Archives: January 15, 2017

SIMBA WA TERANGA WAJA KWA KASI AFCON 2017, HUKU MAHREZ AKIOKOA ALGERIA!

Kombe la mataifa Afrika limeingia duru ya pili hiyo Jana huko Francville, Gabon. Kundi B ambalo limeundwa na bingwa  wa 2004 Tunisia, Algeria, Zimbabwe na Senegal.

Mechi ya mapema zaidi ilikua kati ya Zimbabwe dhidi ya Algeria. Mchezaji bora wa Afrika 2016 na kiungo wa Leicester City Riyad Mahrez alianza kuona lango la wapinzani wake dak ya 12 na kuwaacha Zimbabwe wakiduwaa. Zimbabwe iliwachukua dak 5 kurudisha goli kupitia kwa Mahachi dak ya 17 ya mchezo. Na kama haitoshi dak ya 29 Mushakwi akapiga goli safi la kichwa. Mpaka Mapumziko Zimbabwe ilikua ikiongoza 2-1. Kipindi cha pili Algeria walifanya mashambulizi ya nguvu huku Zimbabwe wakitumia mda wote kwa kulinda lango. Hatimaye Mahrez akasawazisha dak ya 82 na kuondoka na alama moja.

Read the rest of this entry

Design a site like this with WordPress.com
Get started