Daily Archives: January 16, 2017

WAKONGO WATUMWA KUFANYA KAZI, ADEBAYOR NA ZAHA NGOMA DROO!

Kundi C kombe la mataifa Afrika lilishuka dimbani kuziwakilisha nchi zao hiyo Jana. Ivory Coast dhidi ya Togo na Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo dhidi ya Morocco.

Mchezo wa kwanza uliowakutanisha wanadinga wakali na maarufu kama Sheyi Emmanuel Adebayor, Wilfred Bony, Solomoni Kalou, Zaha n.k ulikua kati ya Ivory Coast na Togo. Mchezo huu uliisha kwa 0-0.

Adebayor akiruka juu kupiga kichwa

Read the rest of this entry

Design a site like this with WordPress.com
Get started